DUNIANI SIO MAHALI SALAMA KAMA UNAVYOONA WEWE DUNIA IMEJAA NGUVU ZA GIZA NA MAPEPO

Na. Kadala Komba Dodoma Mchungaji Moses Mchiwa wa kanisa la Pentecostal Assemblies of God (P.A.G)Beroya Christian Center Kizota jijini Dodoma.Alisema Dunia sio sehemu salama Kama mnavyoona kwa macho ya nyama, Dunia imetawaliwa na uwovu mwingi Dunia imejaa Nguvu za Giza na mapepo alisema Dunia imetawaliwa na watu wabaya ambao hawataki kuona mtu amefanikiwa ukifanikiwa tu